• English
  • Swahili
  • 한국어
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Shqip
  • Deutsch
  • ភាសាខ្មែរ
  • Polski
  • More
    • English
    • Swahili
    • 한국어
    • Русский
    • Español
    • Português
    • Shqip
    • Deutsch
    • ភាសាខ្មែរ
    • Polski

  • English
  • Swahili
  • 한국어
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Shqip
  • Deutsch
  • ភាសាខ្មែរ
  • Polski

Amani Imefika

Bwana Mungu alituumba tuwe watoto wake


Kwa bahati baya Dhambi Ikatutenganisha na Mungu


Lakini Mungu alitupenda bado, kwa hivyo akatuma Mwanaye Yesu Christo ndiyo atupatanishe na yeye


Yesu akasema ‘Mimi ndiye Njia, Ukweli na uzima wa milele, hakuna anayekuja kwa Baba bila Mimi


Yesu ndiye njia pekee kwa sababu Mungu alimfanya mwenye dhambi badala yetu  Ndio tuwe wenye haki  


Damu ya Yesu Christo ndie kitambaa. Haki kitambaa safi kimechukua dhambi zetu ndie tuwe Hulu na watakatifu mbele ya Mwenyezi Mungu


Hukumu ya dhambi ni kifo. 


Kwa sababu Yesu alikufa msalabani tumepata uzima wa milele   Damu yake imekuwa dhabihu kwa wenye dhambi


Yesu hakutenda dhambi. Alikufa kwa jailing ya dhambi zetu.



Yesu alisulubiwa msarabani, na baada ya siku tatu akafufuka kama iliotabiriwa na wanabii. 


Kwa hivyo, Tumbu dhambi Zako ndio nyakati za kufutahi zifike kutoka kwa Mwenyenzi Mungu


Yesu ndiye njia ya pekee yakukufanya kiumbe kipya katika Mungu


Kwa hivyo pokea Yesu Christo Kama Bwana na Mwokozi wa Maisha yako   Omba yeye akuokoe.


Mukaribishe Yesu katika maisha yako ndiyo akuokoe


Usingojee na usiogope

Downloads

PeaceHasCome.org - Swahili - QR Code (png)

Download

Powered by